Friday, March 30, 2012

INTERNATINAL NEWS:Israeli diplomat attack: Kazmi seeks bail

New Delhi: Journalist Syed Mohammed Ahmad Kazmi, arrested for his alleged role in the February 13 bomb attack at Israeli diplomat Tal Yehoshua's car, resulting in critical injuries to her, on Friday moved a Delhi court for bail.


Kazmi's bail plea, filed in the court of Chief Metropolitan Magistrate Vinod Yadav, is to come up for hearing on Saturday.
Court sources said Kazmi has sought bail on the ground that the police had told the court earlier, at the time he was sent to the judicial custody, that the probe vis-a-vis him has been completed.


He has said due to completion of the probe against him, he had been sent to judicial custody on March 24 mid-way his tenure for the police custody till March 27.
Kazmi had earlier alleged that police was harassing him in custody to pressurise him to "confess a crime he never committed" and that "foreign agencies like Mossad were also interrogating him."

The court had then asked the Special Cell not to permit other investigating agencies to interrogate him but had imposed no bar from sharing information with other agencies.

Kazmi, who claims to have been writing for an Iranian publication, was picked up by the Special Cell of Delhi Police after the probe showed he had been in touch with a suspect who is believed to have stuck the magnetic bomb on Israeli diplomat Tal Yehoshua's car on February 13.

Yehoshua and an Indian driver of the Embassy vehicle were among the four people injured in the blast.

Wednesday, March 28, 2012

Mkutano wa Baraza la Wawakilishi na Kuapishwa Mhe....

ZanziNews Blog: Mkutano wa Baraza la Wawakilishi na Kuapishwa Mhe....: Mwakilishi Mpya wa Jimbo la Uzini ndani ya Jumba akiwa katika viwanja vya Baraza akiingia kwa ajili ya kuapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Wa...

Kutoka Baraza la Wawakilishi : Serikali Kutafuta Mwekezaji Eneo la Mangapwani


Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inatafuta mwekezaji mwengine katika eneo la Mangapwani wilaya ya kasikazini “B” Unguja baada ya Shirika la Agakhan Foundation kushindwa kuliendeleza eneo hilo ambalo walikodishwa na Serikali kwa lengo la kuliendeleza.

Hayo yamesemwa leo huko Baraza La Wakilishi Zanzibar na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwiji Haji Makame wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Hamza Hassan Juma (CCM) aliyetaka kujua hatma ya mwekezaji huyo ambaye kashindwa kuliendeleza eneo hilo kwa muda mrefu.


Dk.Mwinyi Haji akijibu swali hilo amesema kwamba mkataba wa mradi huo umefutwa tokea mwaka 2008 baada ya kusimamishwa mkataba wa kukodishwa ardhi kutokana na muekezaji huyo kushindwa kutekeleza yale aliyoagiza.

Aidha alisema kuwa kutokana na mradi huo kufutwa kabisa na muwekezaji kushindwa kuomba kurejeshewa kwa mradi huo serikali inatafuta mwekezaji mwengine ambae ataweza kuliendeleza eneo hilo kwa kuweka miradi mbalimbali .

Dk.Mwinyi Haji alisema kwamba, kwa sasa Serikali imepokea maombi mengi kwa waekezaji wengine kwaajili ya kuliendeleza eneo hilo ili kutimiza azma ya kuwawezesha wananchi wa Mangapwani kupata ajira.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Thuwaiba Edington Kisasi amesema kuna viashiria vinavyoonesha kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi Pemba kutokana na ujazo wa fedha uliojitokeza kwa sababu ya mavuno ya Karafuu.

Thuwaiba aliyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Jaku Hashim Ayuob aliyetaka kujua iwapo bei mpya ya Karafuu imesaidia kuinua kipato cha wakulima.

Thuwaiba amevitaja viashiria hivyo vya kiuchumi kuwa ni pamoja na kuongezeka kwa ujenzi wa nyumba za kudumu na za kisasa,kuongezeka kwa ununuzi wa vipando kama vile magari na pikipiki na ongezeko la uanzishwaji wa miradi midogo midogo ya maendeleo.

Kikao hicho kidogo cha Baraza la Wawakilishi kimenza leo katika Ofisi zake zilizoko Mbweni nje kidogo ya mji wa Zanzibar ambapo inatarajiwa kuchukua muda wa wiki mbili.